Tuesday, October 2, 2007

MAHAFAALI YA KIISLAMU YA KIDATO CHA NNE

Mwenye miwani ndio Mgeni rasmi wa mahafali hayo Shekh.Gologosi na kushoto kwake ni Mkuu wa shule Mej.Martin Mkisi.Mahafali hayo yalifanyika ndani ya shule ya Jitegemee.
Mtangazaji wa Radio Kheri redio ya Kiislamu naye alikuwapo na alitoa nasaha kwa wanafunzi.

Kutoka kulia ni Mikidadi Muhina,Jafari na Ally Shekha wote ni wnafuzi wa kidato cha nne.


Shekh.Gologosi akiagana na wanafunzi baada ya kumaliza kuwaombea dua na kuwatakia mitihani mema itakayoanza tarehe 8/10/2007


No comments: