P.O.Box 45050,Kilwa RD, Dar Es Salaam,Tanzania SIMU{0784 632601 NA 0714 226080
Tuesday, August 14, 2007
A-LEVEL WAKIWA LAB
Wanafunzi wa Jitegemee kidato cha tano wakiwa katika maabara.Shule ina maabara kubwa na ya kisasa,Kuna maabara ya KEMIA,PHYSIKIA na BIOLOGIA na zote zikiwa na vifaa vya kutosha vya kufundushia kuanzia O-level mpaka A-level.
No comments:
Post a Comment